Gavana wa Homa Bay Cyprian Awiti amehojiwa na seneti
У вашего броузера проблема в совместимости с HTML5
Gavana wa Homa Bay Cyprian Awiti amehojiwa na kamati ya seneti hukusu uhasibu na uwekezaji kuhusiana na matumizi ya fedha za kaunti hiyo. Awiti alipokea cheche za maseneta kwa akukiuka maagizao ya kujiwasilisha kujibu masuali akisema kuwa amekuwa akipokea matibabu mara kwa mara nchini Ujerumani wala sio ukaidi.