У вашего броузера проблема в совместимости с HTML5
Washikadau katika sekta mbalimbali wamewataka wanasiasa kujihusisha na siasa za amani wakati huu nchi ya kenya inaendesha mchakato wa kuifanyia katiba marekebisho. Wanachama wa shirikisho la mazingira la afrika mashariki wanakiri kwamba kuna haja ya kurekebisha katiba kwani imewabana wakenya ila hatua hiyo isitumiwe kuwagawanya wakenya.