Friday, 21 August, 2026г.
russian english deutsch french spanish portuguese czech greek georgian chinese japanese korean indonesian turkish thai uzbek

пример: покупка автомобиля в Запорожье

 

Ufisadi Kenya Power: Maafisa wandamizi wazuiliwa polisi

Ufisadi Kenya Power: Maafisa wandamizi wazuiliwa polisiУ вашего броузера проблема в совместимости с HTML5
Mtego wa makachero wa kitengo cha uchunguzi wa jinai umewanasa maafisa waandamizi wa kampuni ya usambazaji umeme nchini, Kenya Power wanaodaiwa kuhusika na visa vya ufisadi. Zaidi ya maafisa watano wandamizi wa kampuni hiyo wanazuiliwa polisi huku watuhumiwa zaidi wakiendelea kujisalimisha.
Мой аккаунт