У вашего броузера проблема в совместимости с HTML5
Wanawake walevi katika eneo la King'eero huko kabete walijipata taabani, pale walipovamiwa na wanawake wenzao na kulazimishwa kuondoka mahala panapouzwa vileo. Kioja kilizuka pale akina mama hao walipoamuwa kuwacharaza viboko walevi hao huku wakilalamikia uuzaji wa pombe haramu katika eneo hilo.