Baadhi ya wakazi wa Dar es Salaam wakatisha katika viunga vilivyozuiliwa eneo la Mwenge mpakani.
У вашего броузера проблема в совместимости с HTML5
Wakati serikali ya mkoa wa Dar es salaam ikiweka mapambo katika barabara mbalimbali ikiwemo minyororo kwa lengo la kupendezesha barabara hizo katika kituo cha mpakani ambapo itv imeshuhudia baadhi ya wakazi wa jiji wakivuka kwa kupita chini ya minyororo au wengine kunyanyua kwa juu ili kupita jambo ambalo halikubaliki.